HAFLA YA UGAWAJI WA TAULO ZA MTOTO WA KIKE KATIKA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOROGORO KWA WANAFUNZI WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
a
AFISA MAENDELEO YA JAMII NA MRATIBU WA DAWATI LA MAENDELEO YA MTOTO MANISPAA YA MOROGORO , JOYCE MUGAMBI, AKIZUNGUMZA KWA NIABA YA MKURUGENZI WA MANISPAA YA MOROGORO KATIKA HAFLA YA UGAWAJI WA TAULO ZA MTOTO WA KIKE KATIKA SHULE ZA SEKONDARI MANISPAA YA MOROGORO KWA WANAFUNZI WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU.
HAFLA HIYO IMEFANYIKA MEI 21 /2022 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA KILAKALA SOKO KUU LA CHIFU KINGALU MOROGORO.
TAULO HIZO ZIMETOLEWA NA TAASISI YA WEZESHA MABADILIKO CHINI YA MKURUGENZI WAKE DR. LUSAKO MWAKILUMA.🙏🏻🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥