Tambiko la Waluguru lilìfanyika katika Uwanja wa Gofu-Mkoani Morogoro, Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya Advocate Albert Msando, Mkurugenzi wa Wezesha Dr.Lusako alikuwa mweka hazina wa Tambiko ilo.
Tambiko la Waluguru lilìfanyika katika Uwanja wa Gofu-Mkoani Morogoro, Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya Advocate Albert Msando, Mkurugenzi wa Wezesha Dr.Lusako alikuwa mweka hazina wa Tambiko ilo.