Mkurugenzi waWezesha Mabadiliko (WEMA) alikuwa Mgeni Rasmi katika Shule ya Awali Mlali-Morogoro (Bella Day Care).
Mkurugenzi waWezesha Mabadiliko (WEMA) alikuwa Mgeni Rasmi katika Shule ya Awali Mlali-Morogoro (Bella Day Care).
Tambiko la Waluguru lilìfanyika katika Uwanja wa Gofu-Mkoani Morogoro, Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya Advocate Albert Msando, Mkurugenzi wa Wezesha Dr.Lusako alikuwa mweka hazina wa Tambiko ilo.